IFAHAMU TEKNOLOJIA YA CCTV CAMERA NA JINSI INAVYOFANYA KAZI KATIKA MAENEO YANAYOTUZUNGUKA - ulimwengu wa teknolojia

Breaking

About Me

Peoples Solution

Tuesday 11 September 2018

IFAHAMU TEKNOLOJIA YA CCTV CAMERA NA JINSI INAVYOFANYA KAZI KATIKA MAENEO YANAYOTUZUNGUKA



 IFAHAMU TEKNOLOJIA YA CCTV CAMERA NA JINSI INAVYOFANYA KAZI KATIKA MAENEO YANAYOTUZUNGUKA


Pindi utapoitumia teknolojia hitakusaidia  kumfahamu mtu anayegonga geti lako kabla ya kumfungulia,pia ni suluhisho la wizi kwani utaweza kumuona mwizi kabbla na hata baada ya kukuibia utamuangalia kama unaangalia bongo mover,pia ni suluhisho la masalalamishi mahali kma vile hospitali utapatiwa huduma nzuri pasina hata kutoa rushwa kwa sababu muhudumu anayekuhudumia ataonekana endapo tuu atakufanyia jambo kinyume a sheria na taratibu za eneo husika.Pia kwenye meneo ya barabara mfumo huu ni suluhisho kw ajari zinazotokea na dereva kukimbia au kutojulikana  kwa  msababishaji wa tukio.


Ni ukweli kizuri hakikosi kasoro .Na mficha maradhi kifo umuumbua usemi huu una maana kwamba Pamoja na mfumo huu kuwa mzuri pia una kasoro zake na sheria zake.kuna mahali haipaswi kabisa kuweka cctv.Maeneo hayo ni kama chooni,Sehmu za kuoshea maiti,nk


                                      UMUHIMU WA CAMERA NA MATUMIZI YAKE 
Camera ina  umuhimu mkubwa ndani ya jamii kutokana na shughuri za maendeleo mbalimbali zinazofanyika  ambazo zinaweza kuwa za kiuchumi ,kisiasa ,kijamii,na kisayansi.Mwanzoni camera zilitumika kama kifaa cha starehe zaidi .Ukuaji wa teknolojia siku hadi siku umeongeza matumizi ya teknolojia na sasa camera inatumika kama kifaha cha ulinzi
Kutunza kumbukumbu za picha ambazo ni za matukio mbalimbali(sherehe,huzuni nk)
Kutumika katika shughuli za ulinzi (security)Mfano kwenye benki,hospitali ,magereza,vitani,viwandani,officini,majumba ya hibada,mipakani na majumbani.Kama ni mtembeaji nadhani umeshakutana n acamera sehemu tofauti tofauti za kumbi za starehe,barabarani ,Kambi za jeshi,benki zote na hivi kalibu tumeziona mahospitalini,kwenye magari na majumbani tunamoishi.

Leo sisi wana ulimwengu wa teknolojia tumeonelea tuzungumze juu ya camera hizi .Kitaalamu zinaitwa CCTV .Hizi ni camera ambazo zinatumika kama ni ulinzi sehemu mbalimbali mfano katika (institute,organization,compony,industry,government,club and home)licha ya camera hizi kutumika katika security pia unaweza kutumia katika matumizi mengine kama ya starehe.
Camera hizi zipo katika ubora ,viwango(zipo zenye kuchukua umbali mdogo na umbali mkubwa kwa mwanzo ni mita mia),umbo tofauti tofauti(kubwa,kati na ndogo,),muonkano tofauti tofauti ubadilika kutokana na maendeleo ya technolojia.


Camera hizi husaidia kumtambua muarifu kwa haraka na hata kuokoa baadhi ya mali.kwa sasa teknolojia hii imekuwa na kuenea nchi nyingi zaidi kwani hutumika katika majengo ya biashara,viwanda,secka binafsi ambapo hutumika kama security nzury ya kuaminika

                                                         MFUMO WA CCTV CAMERA
Kwanza kabisa unahitaji kuwa na chumba maalumu(cctv room) pamoja na mtu wa kusimamia mfumo huo.kazi ya mtu hutakayemuweka itakuwa ni kukoctrol serve(receive )na moniter zote.pia uwe na camera ,waya,adapter charge,umeme,receive

VIFAA VINAVYOTUMIKA KUFUNGA CCTV CAMERA

ROOM OF MONITER(CHUMBA MAALUMU KWAAJIRI YA KUKOTROO MFUMO WOTE)








Kiwe kikubwa  na chenye hewa na wawepo watu wenye ujuzi pia kiwe ni secret and security ya kutosha ).hii ni baada ya kuweka  na kueneza camera kwenye maeneo yote yaliyolengwa.ni vyema kuwepo na chumba maalumu kwa ajili  ya kuhifadhi monitor(screen zote )pia ni lazima awepo mtu atakayehakikisha kwamba screen  pamoja na receive zote zinafanya kazi.Vipo salama.

                         
MAWASILIANO(TELEPHONE OR MOBILE PHONE)
Ni jambo lisilopingika kwamba mawasiliano kwenye chumba cha camera ni muhimu kuwepo muda wote wa siku nzima.hii itasaidia pale tatizo litakapotokea kuwapa/kutoa taharifa kwa wengine)mfano tatizo la moto,wizi.Kiufundi.

MONITOR
Siyo lazima uwe na monitor nyingi monitor moja tu inaweza kutosha kwa matumizi ya camera zaidi ya tano.na kudisplay camera zote kwa pamoja kwa mfumo wa vipande vipande.

                                                   WIRE CCTV
Monitor inadisplay kutokana na setting na channel za camera zake.
Pia unaweza kutumia screen yeyote kukonnect kioo cha camera mfano kioo cha (TV,SIMU ,NACOMPUTER)
NA IKUMBUKWE KWAMBA SIYO LAZIMA UWE NA COMPUTER  NDIO UWEZE KUTUMIA CAMERA HIZI.HATA BILA YA COMPUTER UNAWEZA KUTUMIA  MFUMO HUU WACAMMERA


receiver/decoder

Hiki ni kifaa chenye kazi kubwa katika mfumo huu wa camera .kwani kazi yake kubwa ni kunasa na kupokea signal zinazotoka kwenye camera .kisha kuzisafirisha signal kwenda kwenye  monitor.inafanya kazi kama decoder au receiver.
hii receiver ambayo hupokea picha kutoka kwenye camera kuja kwenye kioo kabla ya picha kuingia na kuonekana kwenye camera  ni lazima ipite hapa.DVR imeitwa hivyo kwa sababa kazi yake kubwa ni kuhifadhi/na kutunza kumbukumbu za picha zote kabla ya kudisplay
baada ya hapo ndio picha huonekana kwenye screen.
Kifaa hiki kinauwezo wa kuhifadhi data mbalimbali kwa kua ndani ya  DVR kuna memory ambayo ina tunza kumbukumbu.memory hiyo uhanzia ukubwa wa GB 32 na kuendelea.
Pia muonekano wa 

DVR hupo katika maumbo na rangi tofauti tofauti.DVR zipo katika makundi mawili
1.       Wire
2.       Wireless
                                               
 Pindi DVR inapokuwa imejaa unaweza kufanya mambo yafuatayo
1.       BACKUP
(kwa ajili ya kuhifadhi data mbalimbali kabla kufomati  au kufuta data zilizomo kwenye DVR.ni vyema kufanya backup kabla ya kufuta data zilizomo kwenye DVR huenda baadaye zikahitajika
2.       FORMAT
Hunaweza kuformat vitu vyote vilivyohifadhiwa humu na kuicha DVR nyeupe ikiwa haina kitu
3.       DELETE
Hunaweza kufuta baadhi ya vitu na kuacha baadhi ya vitu

BAROON
Hukaa karibu kabisa na camera.kazi ya baroon inakuwezesha kujua ni camera ngapi zinahitajika kuungwa .kuna baroon za njia tofauti tofauti kuna njia (2,4,8,16,32)baroon moja


WIRE WA CAMERA
wire huu unakuwa na port mbili mfano wa  Port moja inaingia kwenye camera na port nyingine inaugwa kwenye adapter charge.kwa upande wa receiver wire mmoja unaingia kwenye  screen na mwingine ni kwenye receiver

ADAPTER SWITCH/CHARGE(DVE ADAPTER
Hii ni adapter  ambaya yenyewe huingiza moto (umeme)volt 240/100 na kutoa  kupeleka kwenye camera volt12









UTP AND COAXIAL CABLE(D—LINK)
UTP huu ni waya  ambawo usafirisha signal za network.Lakini unaweza kutumia katika kusafirisha signal za camera  na umeme kwa pamoja.waya huu huna huwezo wa kusafirisha signal za camera mbili hadi nne pamoja na umeme

                                          JINSI YA KUUNGA UTP KWENYE CAMERA
Kwanza kabisa utapima umbali wa eneo husika ili kujua ni waya mita ngapi zinatakiwa.Box moja la UTP linakaa  mita 305.Kisha utaanza kuufunga kwa juu.unaweza kutumia  nailon cable tyse kwa ajili ya kuzibana na kushikisha waya vizuri
Waya za moto(umeme) utazifunga waya mbilimbili.utachukua waya mbili na kuzifanya kuwa kama waya mmoja(hivo katika waya nne utapata waya waya mbili)tunaunga hivo kwa sababu waya wa moto unopita ni mkubwa(volt 240)
Waya wa UTP unatakiwa kuingi katika extension cable(cable ya umeme)hivyo itakubidi uunge plag kwa mbele
Utakapokuwa umeufikisha sehemu unapotaka utachukua adapter charge na kuunga kwa mbele yaani INPUT .
Kisha utachukua waya wa camera na kuunga katika adapter charge upande wa OUT PUT.hapo utakuwa umemaliza kuconnect umeme kwenye camera
                                                               

                                                            KUUNGA WAYA WA SIGNAL
Waya huu ni muhimu sana  kwani ubeba signal.waya unaobeba signal kwenye camera ni mmoja tu .unaweza kuwa wa rangi yeyote ule.utaunga kwenye port inayoingia kwenye recever na kisha utaconnect na kwenye camera kwa kuuingiza waya huu kwenye tundu moja ya BOROON
HAPO CAMERA ITAKUWA TAYALI KWA MATUMIZI .ILI KUJUA HILO CAMERA ITAWAKA TAA NYEKUNDU

                                    FAIDA YA KUTUMIA WAYA HUU KWENYE CAMERA
·         UTP una uwezo  wa kusafirisha signal za camera zaidi ya moja
·         Una uwezo wa kusafirisha umeme pamoja signal kwa pamoja
·         Una uwezo wa kuhimili mvua na upo self zaidi
                                                                COAXIAL CABLE
COAXIAL hizi ni waya zinanazotumika  kwenye connection ya camera lakini hazina uwezo wa kusafirisha umeme na signal kwa pamoja.pindi utakapoweka waya huu itakubidi utumie waya mwingine kwa ajili ya connection ya umeme
Unaweza kutumia coaxial kwa ajili ya  signal.Na kutumia waya mwingine  kwa ajili ya kupitisha umeme



                  HATUA ZA KUFUATA ILI UWEKE CCTV CAMERA NYUMBANI KWAKO


·         Kusanya mahitaji yote (monitar,DVR,UTP,camera and adapter)
·         Connect adapter on the  extensiol cable

·         Ikate adapter yako na unga waya wa UTP mbili kwa moja kwenye charge(out put) anza kueneza waya wako hadi unapopataka
·         Unga kichwa cha adapter mwisho wa UTP
·         Weka /connect Decoder kwenye umeme pamoja na monitor
·         Fanya connection kati ya monitor na decoder
·         Unga waya wa signal ya camera na uvute hadi kwenye camera

              Hapo utakuwa umekamilisha connection na utaanza kuangalia camera yako
SISI KAMA ULIMWENGU WA TEKNIOLOJIA TUNGEPENDA KUWASHAURI MAKAMPUNI ,TAASISI MBALIMBALI ZA KIJAMII  NA SERIKALI KWA UJUMLA KUITUMIA TEKNOLOJIA HII KWENYE MAENEO YAO ILI KULINDA MALI ZA WANANCHI NA USALAMA WAO KWA UJUMLA.KUNA MAENEO NI LAZIMA MIFUMO HII YA KAMERA ZA CCTV ZIWEKE ITASAIDIA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE .MAENEO HAYO NI KAMA BANDALINI,MAHAKAMANI,VITUO VYOTE VYA MABASI YAENDAYO MIKOANI,MASHULENI WAKATI WA KUFANYIKA MITIHANI YA KITAIFA,HOSPITALINI (MAPOKEZI NA WODINI),MAJUMBA YOTE YA IBADA(MISIKITINI NA MAKANISANI).

UNAHITAJI KUFUNGIWA CCTV CAMERA KWENYE ENEO ,CHOMBO CHAKO .WASILIANA NASI TUTAKUTAFUTIA MAFUNDI WAZURI AMBAO WATAKUFUNGIA MFUMO HUU KWA UHAKIKA NA UJUZI WA HALI YA JUU.
Ungana Nasi Kwenye Mitandao ya Kijamii

KALIBU KWENYE GROUP NA PAGE YETU YA FACEBOOK KWA JINA LA ULIMWENGU WA TEKNOLOJIA.WHATSAPP KWA NAMBA 0653270429

Ulimwengu wa teknolojia Sisi ni suluhisho lako namba moja katika masuala yote ya Teknolojia,ya TEHAMA TANZANIA tembelea Kila Siku.